Skip to main content

Karibu TADB

  • Mashine ya kuvunia mazao
    Benki ya Wakulima
    #KilimoKinabenkika
  • Ufugaji wa kuku wa mayai
    Benki ya Wakulima
    #KilimoKinabenkika
  • Kiwanda cha kuchakata mazao ya chakula
    Benki ya Wakulima
    #KilimoKinabenkika
  • Ufugaji wa ng'ombe wa maziwa
    Benki ya Wakulima
    #KilimoKinabenkika
  • Ufugaji wa samaki kwa njia ya vizimba
    Benki ya Wakulima
    #KilimoKinabenkika
  • Ufugaji wa kuku wa nyama
    Benki ya Wakulima
    #KilimoKinabenkika

Mnyororo wa Thamani Unaowezeshwa

"Kutoka shambani hadi sokoni" Kuimarisha kila hatua ya mnyororo wa thamani wa sekta ya kilimo kwa lengo la kuongeza tija, kuhakikisha ubora wa bidhaa na kuongeza kipato cha mkulima.

Pembejeo

Usambazaji wa mbegu bora, mbolea, na rasilimali nyingine kwa ajili ya uzalishaji.



Uzalishaji

Kuwawezesha wakulima kupata vifaa, ujuzi, na huduma za fedha ili kuleta tija katika uzalishaji.



Uhifadhi

Kuwezesha upatikanaji wa maghala, vihenga vya kisasa na vyumba vya barafu ili kutatua tatizo la upotevu wa mazao baada ya kuvuna na kuhakikisha ubora wa bidhaa.

Uchakataji

Kuongeza thamani ya mazao ghafi ya kilimo, mifugo na uvuvi kwa kutumia teknolojia za kisasa ili kuboresha bidhaa.

Usambazaji

Kuongeza ufanisi katika usambazaji wa bidhaa kwenye masoko kupitia njia mbali mbali za usafirishaji.

Masoko

Kuwezesha upatikanaji wa masoko mapya ya bidhaa za kilimo ili kumuongezea mkulima mapato.

57
Minyororo ya
Thamani Iliyofadhiliwa
Soma zaidi »
1.13TR TZS
Mikopo ya
Kilimo Iliotolewa
Soma zaidi »
719
Miradi ya
Kimkakati
Soma zaidi »
447.95B TZS
Imetolewa Kupitia Mfuko wa
Dhamani wa Wakulima Wadogo
Soma zaidi »

Bidhaa

Kama  mteja wetu wa thamani tunakuletea bidhaa bora za kifedha zitakazokidhi mahitaji yako, kwa uzoefu wetu tutahakikisha mradi wako unawezeshwa ili kufikia malengo.

''Kuongeza Tija Katika uzalishaji '' Upatikanaji wa zana za kisasa zinazohitajika kuongeza ufanisi na kutanua wigo wa uzalishaji.
"Kuwezesha Viwanda vya Mazao ya Kilimo" Kutoa mikopo ya muda mrefu kwa ajili ya kuwezesha ujenzi wa miundombinu ya miradi ya uchakataji wa mazao itakayochochea ukuaji wa sekta ya kilimo nchini.
"Kuwezesha upatikanaji wa mitaji katika msimu husika" ili kurahisisha utendaji kazi katika hatua mbalimbali za mnyororo wa thamani kuanzia kupanda hadi kuuza kwa mlaji wa mwisho.
Kuwezesha upatikanaji wa mikopo kwa wakulima wadogo kupitia dhamana inayotolewa kwa taasisi za fedha shiriki.