NA MINYORORO YA THAMANI
TADB inaleta mapinduzi ya kilimo kwa mipango endelevu inayokidhi mahitaji yako kupitia huduma tofauti za kifedha, kama vile: Mikopo ya moja kwa moja, Mikopo yenye ushirika na Udhamini.
KILIMO
KINABENKIKA
Ufugaji
BENKI YA MAENDELEO YA KILIMO TANZANIA
Taasisi ya fedha ya maendeleo inayomilikiwa na serikali (DFI) iliyoanzishwa kama benki ya kitaifa ya maendeleo ya kilimo nchini Tanzania.

Uzalishaji

Maghala

Uchakataji

Usafirishaji

Masoko
MINYORORO YA THAMANI

Kuhusu TADB BENKI YA WAKULIMA

Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB) ilianzishwa chini ya Sheria ya Kampuni, 2002 CAP 212 mnamo Septemba 2012.
Kuongoza mikakati ya kujenga uwezo na mipango ya kuimarisha mnyororo wa thamani ya kilimo na kuunga mkono Serikali ya Tanzania miradi ya kuunda na kutekeleza sera na mikopo ya kilimo na vijijini.

14
Minyororo ya Thamani Iliyokopeshwa

284
Mikopo iliyotolewa ( TZS Bilioni)

71
Miradi ya Kimkakati Iliyofadhiliwa

1049370
Wakulima wadogo walionufaika
Mipango Thabiti
Kutoa huduma za kifedha kwa kupitia kongani na minyororo ya thamani kwa nia ya kuleta mapinduzi ya kimkakati katika kilimo na kwa wakulima wadogo.

OUR PRODUCTS
As our valued customer, you are offered innovative products to redefine banking convenience. With our expertise, you can rest assured that your project is protected and nurtured at the same time.
PEOPLE SAYS ABOUT TADB
Read what some of our customers and stakeholders are saying about us..
BLOG POSTS
Read our latest engagements on the news...
President Samia congratulates TADB, calls for continuous support towards BBT programme
President of the United Republic of Tanzania H.E. Dr. Samia Suluhu Hassan has congratulated TADB for a job well done, and called for its continuous support towards the newly launched…
Read more
Agribusiness / Agriculture / Agrifinance / RECENT NEWS
TADB Declares Record TZS 5.58 Billion Dividend Following 31% Profit Surge
The Tanzania Agricultural Development Bank (TADB) has announced a historic dividend payout of TZS 5.58 billion compared to TZS 850 million declared for the year ending December 2023. The announcement…
Read more
Agriculture / Business / RECENT NEWS / Women in Agriculture
TADB Promotes Agri-Business to 500 Women in Ubungo District, Dar es Salaam
Tanzania Agricultural Development Bank (TADB) participated in a women’s seminar organized by EFM as part of their 2025 Women’s Empowerment Campaign, known as Mwanamke wa Shoka. The event took place…
Read more





GET IN TOUCH
Our doors, ears and break room are always open, drop us a line below