TADB yatoa mafunzo kwa wakulima viziwi
Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB) imeonyesha kwa vitendo nia ya kuinua wakulima wadogowadogo maalumu nchini kwa mafunzo ya siku 3 kwa Kituo cha Wakulima Wafugaji Viziwi Tanzania (KIWAWAVITA) yaliyofanyika mkoani Morogoro. Mafunzo hayo yalilenga kuwajengea uwezo kwa nadharia na vitendo wakulima hao ili wainuke kuchangia, kuongeza na tija...